Mvutano wa kisiasa unaripotiwa nchini Kenya: kwa mara ya kwanza tangu kutumuliwa kwake, hatua iliyopitishwa na Bunge la ...
Bunge la kitaifa nchini Kenya, limeidhinisha jina la aliyekuwa Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki mwenye umri wa ...
NAIROBI, Kenya - Bunge la Seneti nchini Kenya limepiga kura kumuondoa kazini Naibu Rais wa Taifa hilo, Rigathi Gachagua.
RAIS William Ruto amemteua Prof. Kithure Kindiki kuchukua nafasi ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, ambaye ameondolewa ...
Waziri wa Ulinzi wa Kenya Aden Duale amesema kuwa Kenya itashinikiza mashtaka dhidi ya mwanajeshi yeyote wa Uingereza anayedaiwa kuvunja sheria wakati wanajeshi hao walipokuwa nchini humo miongo ...
MAHAKAMA Kuu Nchini Kenya imetoa amri ya kusitisha utekelezaji wa azimio na Seneti na uteuzi wa Naibu Rais mpya hadi Oktoba ...
19 Julai 2023 Maandamano Kenya: Shirika la Save the Children laelezea hofu juu ya haki ya elimu kwa watoto Shirika la Save the Children lina wasiwasi mkubwa juu ya haki za watoto za elimu ...
Hapo jana, Jaji wa Mahakama Kuu Chacha Mwita amesema Mahakama ilitoa kibali kwa wabunge wa seneti kumuhoji Gachagua kwa mujibu wa katiba. Hali hii inakuja wakati Naibu Rais akikabiliwa na shinikizo ...
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, linapanga kuwasilisha ombi la kutaka kuundwe tume ya ...
Kuna joto la kisiasa nchini Kenya kwa sasa hasa kile kinachoonekana kuwa ni masaibu yanayomuandama naibu rais Rigathi Gachagua, na madai kwamba wapambe wa rais William Ruto wanapanga kumtimua ofisini.
Serikali ya Shirikisho ya tetea takwimu zake za utoaji wa ajira milioni moja, wakati upinzani una sisitiza kuwa asilimia ...